• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Kasulu District Council
Kasulu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo-Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Muundo wa Utawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
      • MRADI WA UMWAGILIAJI TITYE
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogondogo
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Taratibu
    • Huduma Kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Makala
    • Matangazo

KIGOMA KUWASAKA WATOTO WASIOENDA SHULE

Posted on: April 18th, 2023

Katibu Tawala ya Wilaya ya Kasulu Titus Mghuha amewataka viongozi ya Kata na vijiji kuwasaka wanafunzi waliopo katika Kata zilizopo kwenye Mpango wa Elimu ya Msingi Kwa Waliokosa MEMKWA


Aliyasema hayo wakati wa hafla ya kufunga  mafunzo ya siku tano ya walimu wa MEMKWA, iliyohusisha walimu wakuu na maafisaelimu wa kata tano za halmashauri ya wilaya ya Kasulu yaliyofanyika kwenye ukumbi wa chuo cha Ualimu Kasulu.


Mghuha alisema kuwa, pamoja na ufadhili uliotolewa ili kuutekeleza mpango huo, sio jambo la kujivunia kuuona mkoa wa Kigoma ukiwa na idadi kubwa ya watoto zaidi ya elfu thelathini waliokosa elimu ya msingi.


“Kupitia mafunzo haya viongozi wote wa kata na vijiji nawaagiza kuwasaka watoto wanaostahili kujiunga na mpango wa Elimu ya Msingi Kwa Waliokosa na kuwapeleka shule ili baada ya miaka mitano, mkoa wa Kigoma usiwe na historia hiyo,” alisema Mghuha


Kwa upande wake Afisa Elimu ya Watu Wazima mkoa wa Kigoma Hawamu Tambwe alisema kuwa mpango huo wa kuwapatia watoto elimu nje ya mfumo rasmi, utatekelezwa katika kipindi cha miaka mitano na kuzihusisha halmashauri zote za mkoa wa Kigoma.


Aliongeza kuwa katika utekelezaji wa mpango huo, jumla ya  watoto 32,564 wenye umri wa miaka 9-16 watahusika kati yao wavulana wakiwa 15,420 na wasichana 17,144.


"Kupitia mpango huo, watoto 4,959 wanatarajiwa kurudishwa shuleni mwaka wa kwanza, watoto 6,024 watarudishwa shuleni mwaka wa pili, watoto 6,408 watarudishwa shuleni mwaka wa tatu, watoto 7,165 watarudishwa shuleni mwaka wa nne huku watoto 8,008 wakitarajiwa kurudishwa shuleni katika kipindi cha mwaka wa mwisho wa mpango huo", amesema.



Akizungumza katika hafla hiyo, mwakilishi wa Ofisi ya Rais Tamisemi anayeshughulikia Elimu ya Watu Wazima Godliver Nkala, amewataka washiriki wa mafunzo hayo kuhakikisha watoto walio nje ya shule, wanaingizwa katika mpango huo.


Aidha kupitia kikao hicho, Nkala amepigilia msumari suala la chakula cha mchana shuleni kwa kuwataka washiriki wa mafunzo hayo kuihamasisha jamii katika kushiriki kikamilifu kufanikisha ajenda hiyo.


Miongoni mwa washiriki wa siku ya mwisho ya mafunzo hayo ni Watendaji wa kata, watendaji wa vijiji na wenyeviti wa vijiji kutoka katika kata tano zilizo kwenye mpango huo.



Matangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO ILIYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU January 08, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI February 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MWENYEKITI WA BODI YA AJIRA February 21, 2024
  • MWALIKO WA ZABUNI KUPANGISHA ENEO KWAAJILI YA MGAHAWA March 08, 2024
  • Angalia Zote

Taarifa Mpya

  • WALIMU SHULE YA MSINGI KISUMA WATOA SHUKRANI KWA WADAU WALIOCHANGIA SARE NA VIFAA KWA WANAFUNZI

    June 05, 2025
  • MAFUNZO YA SIKU TATU YA KKK KWA WALIMU WA DARASA LA KWANZA NA LA PILI YAFIKIA TAMATI KASULU

    June 05, 2025
  • KASULU DC YAENDELEA KUWAJENGEA UWEZO WALIMU WA MADARASA YA AWALI

    June 03, 2025
  • VIONGOZI WA TAASISI ZA ELIMU NA IDARA YA AFYA KASULU WATAKIWA KUSIMAMIA USAFI WA MAZINGIRA

    June 02, 2025
  • Angalia Zote

Video

NAIBU WAZIRI OR-UTUMISHI NOV 2022
Video zaidi

KURASA ZA KARIBU

  • PlanRep_Web_Based
  • FFARS Online Manual
  • PlanRep Online Manual
  • Facility Financial Accounting and Reporting System (FFARS)
  • safari_Live
  • safaridemo
  • Dashibodi ya Ukusanyaji wa Mapato
  • UNICEF Dashboard
  • Kamusi Eng & Swa

TOVUTI ZINAZOHUSIANA

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • TAMISEMI
  • BUNGE
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • ARIDHI
  • OPEN UNIVERSITY
  • PSPTB
  • AJIRA
  • HFR Dashboard
  • KIGOMA DC
  • NACTE
  • NECTA
  • eMrejesho

Kihesabu watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU

    Anuani ya Posta: S.L.P 97

    Simu ya Mezani: +255-028-2810339

    Simu: +255-028-2810339

    Barua Pepe: ded@kasuludc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera Ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma
    • Wasiliana Nasi

Copyright ©2024 kasuludc . All rights reserved.