• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Kasulu District Council
Kasulu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo-Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Muundo wa Utawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
      • MRADI WA UMWAGILIAJI TITYE
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogondogo
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Taratibu
    • Huduma Kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Makala
    • Matangazo

KASULU YASHUHUDIA MAENDELEO MAKUBWA MIAKA 61 YA MUUNGANO

Posted on: April 26th, 2025

Na Mwandishi Wetu

Mkuu wa Wilaya ya Kasulu mkoani Kigoma,Mhe. Kanali Isaac Mwakisu amesema kuwa katika kipindi cha miaka 61 ya Muungano wa Tanzania, Wilaya ya Kasulu imepiga hatua kubwa za maendeleo,ikonyesha mafanikio kupitia utekelezaji wa miradi mbalimbali mikubwa.

Akizungumza leo,Jumamosi Aprili 26,2025, wilayani humo wakati wa maadhimisho ya miaka 61 ya Muungano, Kanali Mwakisu ameeleza kuwa miradi hiyo inajumuisha ile ya maji,vituo vya afya,zahanati na hospitali,pamoja na ujenzi wa madarasa katika shule za msingi na sekondari,sambamba na kuanzishwa kwa shule mpya.

Amesisitiza kuwa mafanikio hayo yametokana na juhudi za marais wote waliooliongoza Taifa,kwa kubeba maono ya waasisi wa Muungano,na kuendelea kutekeleza miradi ya maendeleo kwa manufaa ya wananchi.

Aidha,Kanali Mwakisu ametangaza kuwa kuanzia Mei 1 hadi 7,2025, awamu ya pili ya uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Mpiga Kura itaanza.Amehimiza wananchi kuhakikisha wanahakiki taarifa zao katika vituo walivyojiandikisha awali, ili kuwa tayari kwa chaguzi zijazo.

Pia,amewataka vijana kuhakikisha wanakuwa na vitambulisho vya Taifa ,akisisitiza kuwa fursa za ajira ziatapatikana kwa wingi wakati wa ujenzi wa kipande cha Reli ya Kisasa (SGR) kutoka Tabora hadi Burundi,ambapo 84% ya utekelezaji wa mradi huo utafanyika wilayani Kasulu.

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Kasulu, Mbelwa Chidebwe, amewataka wanannchi kudumisha amani,umoja na mshikamano hasa katika kipindi hiki cha kuelekea Uchaguzi Mkuu,akisisitiza kuwa tofauti za kisiasa zisilete mafarakano,kwani maisha yataendelea hata baada ya uchaguzi.

Naye,Mratibu wa Mafunzo kutoka Chuo cha Maendeleo ya Wananchi Kasulu (FDC), Helena Shemweta,amesema kuwa  Muungano ni jambo ambalo limendelea kuwa nguzo muhimu ya mshikamano,amani na maendeleo ya watanzania katika Nyanja mbalimbali za maisha.


 



Matangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO ILIYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU January 08, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI February 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MWENYEKITI WA BODI YA AJIRA February 21, 2024
  • MWALIKO WA ZABUNI KUPANGISHA ENEO KWAAJILI YA MGAHAWA March 08, 2024
  • Angalia Zote

Taarifa Mpya

  • PAMBA KUINUA UCHUMI WA WAKULIMA

    May 08, 2025
  • WASHIRIKI WA MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA WAHASWA KUFANYA KAZI KWA BIDII

    April 29, 2025
  • MAWAKALA WA VYAMA KURUHUSIWA KITUONI KATIKA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA WAPIGA KURA

    April 29, 2025
  • MAWAKALA WA VYAMA KURUHUSIWA KITUONI KATIKA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA WAPIGA KURA

    April 29, 2025
  • Angalia Zote

Video

NAIBU WAZIRI OR-UTUMISHI NOV 2022
Video zaidi

KURASA ZA KARIBU

  • PlanRep_Web_Based
  • FFARS Online Manual
  • PlanRep Online Manual
  • Facility Financial Accounting and Reporting System (FFARS)
  • safari_Live
  • safaridemo
  • Dashibodi ya Ukusanyaji wa Mapato
  • UNICEF Dashboard
  • Kamusi Eng & Swa

TOVUTI ZINAZOHUSIANA

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • TAMISEMI
  • BUNGE
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • ARIDHI
  • OPEN UNIVERSITY
  • PSPTB
  • AJIRA
  • HFR Dashboard
  • KIGOMA DC
  • NACTE
  • NECTA
  • eMrejesho

Kihesabu watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU

    Anuani ya Posta: S.L.P 97

    Simu ya Mezani: +255-028-2810339

    Simu: +255-028-2810339

    Barua Pepe: ded@kasuludc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera Ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma
    • Wasiliana Nasi

Copyright ©2024 kasuludc . All rights reserved.