• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Kasulu District Council
Kasulu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo-Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Muundo wa Utawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
      • MRADI WA UMWAGILIAJI TITYE
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogondogo
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Taratibu
    • Huduma Kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Makala
    • Matangazo

KASULU YAPIGA HATUA KUBWA KWENYE UWEKEZAJI

Posted on: December 10th, 2023



Imeandaliwa na Waandishi Wetu

Imeelezwa kuwa Wilaya ya Kasulu imepiga hatua kubwa katika eneo la uwekezaji  hivi sasa baaada ya kuwa na usalama wa kutosha,suala la nishati hasa ya umeme pamoja na uhakika wa upatikanaji wa rasilimali watu.

Hayo yamebainishwa jana na Mkuu wa Wilaya hiyo, Kanali Isaac Mwakisu kwenye sherehe za maadhimisho wa Miaka 62 ya Uhuru kwa ngazi ya wilaya ambapo alikuwa mgeni rasmi.


Amesema masuala hayo matatu yamesaidia kupata wawekezaji wakubwa wakiwemo wale wa kiwanda cha  Mufindi Papers au Kasulu  Sugar waliopo eneo la Mkuyuni wenye shamba la miwa hekta elfu 40 chenye uwezo wa kuzalisha Sukari tani laki 3 kwa mwaka .

“Kiwanda hiki pia  kitakuwa na uwezo wa kuzalisha umeme kutoka katika miwa hiyo ambayo wataingiza katika Gridi ya Taifa pamoja na kutengeneza karatasi zinazoweza kutengeneza fedha na serikali kuziuza nje ya nchi," amesema.


Pia, amebainisha kuwa kutokana na uwepo wa mchakato wa uanzishwaji wa kiwanda cha Saruji ana uhakika  kitaenda kuondoa  kadhia ya upatikanaji wa bidhaa hiyo kwa gharama kubwa  wilayani humo.

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmshauri ya Wilaya ya Kasulu akifunga maadhimisho hayo aliwashukuru washiriki kwa kutoa mada na kuchangia mijadala mbalimbali ambayo imesaidia kuongeza upeo wao wa uelewa.

“Mmefanya uwasilishaji mzuri ambao umeibua mijadala mbalimbali ambayo imeweza kuleta uelewa  kwa washiriki katika siku hii ya leo mimi niseme niwashukuru sana kwa ushiriki wenu tuombe tu Mungu atuweke hai kwa ajili ya tarehe 9 Desemba hapo mwakani," amebainisha.


Awali akizungumza katika maadhimisho hayo Mkuu wa Polisi Wilaya ya Kasulu,Athumani Issango  aliwahakikishia washiriki kuwa jeshi hilo halitasita kumchukulia hatua askari yeyote atakayetoa lugha chafu kwa viongozi wa dini na jamii kwa ujumla.

Naye Kamnda wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) wa wilaya hiyo,Nathanae Mdegela aliwataka wanasiasa na mawakala wao kuelekea katika uchaguzi mwakani  kushirikiana nao kupambana na vitendo vya rushwa ambavyo huwa vinashamiri inapofika kipindi hicho.

Sherehe hizo zilipambwa na mada mbalimbali za ukatili wa kijinsia, mapambano dhidi ya rushwa,hatua ya maendeleo tulipotoka, magonjwa yasiyoambukizwa na shughuli za kijamii kwa Jeshi la Magereza kwa ajili ya wafungwa.


Matangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO ILIYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU January 08, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI February 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MWENYEKITI WA BODI YA AJIRA February 21, 2024
  • MWALIKO WA ZABUNI KUPANGISHA ENEO KWAAJILI YA MGAHAWA March 08, 2024
  • Angalia Zote

Taarifa Mpya

  • VIONGOZI WA TAASISI ZA ELIMU NA IDARA YA AFYA KASULU WATAKIWA KUSIMAMIA USAFI WA MAZINGIRA

    June 02, 2025
  • PAMBA KUINUA UCHUMI WA WAKULIMA

    May 08, 2025
  • WASHIRIKI WA MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA WAHASWA KUFANYA KAZI KWA BIDII

    April 29, 2025
  • MAWAKALA WA VYAMA KURUHUSIWA KITUONI KATIKA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA WAPIGA KURA

    April 29, 2025
  • Angalia Zote

Video

NAIBU WAZIRI OR-UTUMISHI NOV 2022
Video zaidi

KURASA ZA KARIBU

  • PlanRep_Web_Based
  • FFARS Online Manual
  • PlanRep Online Manual
  • Facility Financial Accounting and Reporting System (FFARS)
  • safari_Live
  • safaridemo
  • Dashibodi ya Ukusanyaji wa Mapato
  • UNICEF Dashboard
  • Kamusi Eng & Swa

TOVUTI ZINAZOHUSIANA

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • TAMISEMI
  • BUNGE
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • ARIDHI
  • OPEN UNIVERSITY
  • PSPTB
  • AJIRA
  • HFR Dashboard
  • KIGOMA DC
  • NACTE
  • NECTA
  • eMrejesho

Kihesabu watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU

    Anuani ya Posta: S.L.P 97

    Simu ya Mezani: +255-028-2810339

    Simu: +255-028-2810339

    Barua Pepe: ded@kasuludc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera Ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma
    • Wasiliana Nasi

Copyright ©2024 kasuludc . All rights reserved.