• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Kasulu District Council
Kasulu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo-Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Muundo wa Utawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
      • MRADI WA UMWAGILIAJI TITYE
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogondogo
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu za Maombi
    • Taratibu
    • Huduma Kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Makala
    • Matangazo

KASULU DC YAPONGEZWA KWA KUPATA HATI SAFI PAMOJA NA KUPUNGUZA IDADI ZA HOJA HADI KUFIKIA TARAKIMU MOJA

Posted on: June 16th, 2025

Na Mwandishi Wetu 

Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu, mkoani Kigoma, yapongezwa kwa  kwa kupata hati safi na kupunguza idadi kubwa ya hoja hadi kufikia tarakimu moja kwa kuwa na hoja tisa kutoka kwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kwa mwaka wa fedha 2023/2024.

Ikiwa ni mara ya nne mfululizo,maafanikio hayo yameiletea heshima si tu halmashauri hiyo, bali pia mkoa mzima wa Kigoma.

Pongezi hizo zimetolewa leo, Juni 16, 2025, na Mkuu wa Wilaya ya Buhigwe, Kanali Michael Ngayalina, aliyemwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Kigoma, Mhe. Thobias Andengenye, wakati wa Mkutano Maalum wa Baraza la Madiwani kupitia na kujadili hoja za CAG uliofanyika katika Ukumbi wa Kagoma, makao makuu ya halmashauri.

“Nawapongeza Mwenyekiti wa Halmashauri, Makamu wake, Mbunge wa Kasulu Vijijini, madiwani wote, Mkurugenzi na wataalamu kwa kazi nzuri iliyowezesha halmashauri kupata hati safi katika ukaguzi wa CAG kwa mwaka ulioishia Juni 2024. Hongereni sana,” amesema Kanali Ngayalina.

Aidha, amesisitiza umuhimu wa kufunga hoja zote zilizosalia kwa vielelezo na kutekeleza maagizo ya Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC). Akieleza kuwa lengo la mkoa ni kuhakikisha hoja zote zinapungua hadi kufikia tarakimu moja ifikapo mwaka wa fedha 2025/2026.


Kwa upande wake, Mwenyekiti wa halmashauri hiyo, Mhe. Eliya Kagoma, amesema mafanikio hayo yametokana na ushirikiano mzuri baina ya madiwani, wataalamu, Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, vyombo vya ulinzi na usalama, Chama Cha Mapinduzi (CCM), pamoja na wadau mbalimbali wa maendeleo.

Naye Mkaguzi Mkuu wa Nje kutoka Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi, Honest Muya, ameitaka halmashauri kushughulikia changamoto ya watoto kushindwa kusoma. Ameahidi kuwa ofisi yake itaendelea kutoa ushauri elekezi kuhusu namna bora ya kushughulikia tatizo hilo katika mwaka wa ukaguzi unaofuata.

Matangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO ILIYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU January 08, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI February 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA MWENYEKITI WA BODI YA AJIRA February 21, 2024
  • MWALIKO WA ZABUNI KUPANGISHA ENEO KWAAJILI YA MGAHAWA March 08, 2024
  • Angalia Zote

Taarifa Mpya

  • KASULU DC YAPONGEZWA KWA KUPATA HATI SAFI PAMOJA NA KUPUNGUZA IDADI ZA HOJA HADI KUFIKIA TARAKIMU MOJA

    June 16, 2025
  • TIMU YA MADAKTARI BINGWA WA MAMA SAMIA YAKEWA KAMBI HOSPITALI YA HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU

    June 17, 2025
  • KASULU DC YAANZISHA SHAMBA DARASA LA VIAZI LISHE KUKABILIANA NA UTAPIAMLO

    June 15, 2025
  • KUU KASULU YAKAGUA MIRADI YA MWENGE

    June 13, 2025
  • Angalia Zote

Video

NAIBU WAZIRI OR-UTUMISHI NOV 2022
Video zaidi

KURASA ZA KARIBU

  • PlanRep_Web_Based
  • FFARS Online Manual
  • PlanRep Online Manual
  • Facility Financial Accounting and Reporting System (FFARS)
  • safari_Live
  • safaridemo
  • Dashibodi ya Ukusanyaji wa Mapato
  • UNICEF Dashboard
  • Kamusi Eng & Swa

TOVUTI ZINAZOHUSIANA

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • TAMISEMI
  • BUNGE
  • UTUMISHI
  • IKULU
  • ARIDHI
  • OPEN UNIVERSITY
  • PSPTB
  • AJIRA
  • HFR Dashboard
  • KIGOMA DC
  • NACTE
  • NECTA
  • eMrejesho

Kihesabu watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU

    Anuani ya Posta: S.L.P 97

    Simu ya Mezani: +255-028-2810339

    Simu: +255-028-2810339

    Barua Pepe: ded@kasuludc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera Ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma
    • Wasiliana Nasi

Copyright ©2024 kasuludc . All rights reserved.